panda1
Kategoria : Nomino
Ngeli : [i-/zi-]
- mahali ambapo njia imegawika na kuwa mbili au zaidi ; njia panda mahali barabara zinapokutana
panda2
Kategoria : Nomino
Ngeli : [i-/zi-]
- kijiti chenye sehemu mbili na kufungwa mpira wa kutupia jiwe dogo
- manati
panda3
Kategoria : Nomino
Ngeli : [i-/zi-]
- sehemu ya uso ambayo iko juu ya macho
panda4
Kategoria : Nomino
Ngeli : [i-/zi-]
- pembe kubwa yenye tundu nchani na hupigwa ili kutoa ujumbe au kutumbuiza
- baragumu
panda5
Kategoria : Nomino
Ngeli : [i-/zi-]